DIEGO COSTA KUKOSA MECHI TATU

Mshambuliaji wa Chelsea Diego Costa.

Mchezaji wa Chelsea Diego Costa amepigwa marufuku ya mechi tatu kwa kumkanyaga kwa makusudi mchezaji wa Liverpool Emre Can.

Costa mwenye umri wa miaka 26 atakosa mechi ya wikendi dhidi ya Mancity pamoja na mechi dhidi ya Aston Villa na Everton.
Shtaka hilo ambalo Costa alilikana linatokana na kisa cha mchuano wa kombe la leage Cup raundi ya pili ambapo Chelsea iliibuka kidedea.
Costa aliyesajiliwa kwa kitita cha pauni millioni 32 ana mabao 17 katika mechi 19 za ligi ya Uingereza msimu huu.
 
Kisa hicho hakikuonekana na maafisa waliosimamia mechi hiyo lakini kilionekana katika kanda ya video






Credit; BBC
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment