RATIBA YA LIGI YA MABINGWA ULAYA YATOKA

Ratiba ya ligi ya mabigwa barani ulaya hatua ya mtoano imetolewa ambapo vigogo 16 wa soka watachuana kuwania ubigwa wa ulaya .

Mabigwa wa ligi ya Uingereza Manchester City, watakua na kibarua kizito kuwakabili Barcelona ,Chelsea watakipiga na miamba wa soka Ufaransa - Paris St-Germain, huku Arsenal watakabilina Monaco.
Shakhtar Donetsk na Bayern Munich
Schalke na Real Madrid
Juventus na Borussia Dortmund
Bayer Leverkusen na Atletico Madrid
Basel na fc Porto
Mechi za raundi ya mtoano timu 16 bora zitachezwa kwa mfumo wa nyumbani na Ugenini kuanzia Februari 17 mwaka 2015 na Washindi wa kila kundi wataanza kukipiga nyumbani kabla ya kuelekea ugenini.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment