CRISTIANO RONALDO ATWAA TUZO NYINGINE

Mshambuliaji Cristiano Ronaldo ametwaa tuzo nyingine baada ya kutangazwa kuwa mwanamichezo bora wa mwaka na shirika la utangazaji la BBC.

Ronaldo alishindwa kuhudhuria sherehe za utoaji tuzo hizo zilizofanyika Glasgow Scotland.kwasababu yuko Morocco na klabu yake ya Real Madrid.
Ronaldo anasema, "Nawashukuru BBC, na mashabiki wangu wa zamani wa Uingereza kwa kunichagua mimi,asanteni sana” Ronaldo amefunga magoli 281 kwenye mechi 267 alizochezea Real Madrid.
Mshambuliaji huyo ametwaa tuzo hiyo akiwashinda mcheza tenesi Serena Williams, bondia Floyd Mayweather na Marc Marquez.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment