THIERY HENRY KUPEWA KAZI YA UKUFUNZI

Arsenal ina mpango wa kumpatia aliyekuwa mshambulizi wa timu hiyo Thiery Henry fursa ya ukufunzi katika timu hiyo kulingana na gazeti la daily mail.

Kandarasi ya raia huyo wa Ufaransa katika kilabu ya New York Red Bulls inatarajiwa kuisha mwisho wa msimu wa ligi ya soka ya marekani MLS mwezi ujao na hajasema ni hatua gani anayotarajia kuchukua.
Wengi wanaamini kwamba kampeni hiyo itakamilisha harakati zake kama mchezaji na huenda Arsene Wenger akamchukua katika kilabu hiyo.
Na alipoulizwa iwapo Henry anaweza kurudi katika kilabu hiyo kama kocha ,Wenger alijibu kwamba hakuna lisilowezekana.''Mimi huwakaribisha watu ambao wameichezea timu hii''.
''Hatahivyo ni lazima ajifunze kazi hii mwanzo'',.
Nimewaona wengi ambao wana uwezo lakini wameshindwa katika fursa yao ya kwanza kwa kuwa hawakuwa tayari.




Credit; BBC
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment